Mhasibu Daraja la II-PEMBA - 2 POST

Maelezo

Chanzo: Zan Ajira



Tarehe Iliyotolewa: 2024-02-28



Kituo cha Kazi/Tukio: Zanzibar
Imetembelewa mara! 3418 ... Deadline: 2024-04-05 15:30:00

POSTMhasibu Daraja la II-PEMBA - 2 POST
EMPLOYERSHIRIKA LA BIASHARA LA TAIFA (ZSTC)
APPLICATION TIMELINE:From: 28-03-2024 To: 05-04-2024
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
  1. Kuandaa hati za malipo
  2. Kuandaa taarifa za mapato na matumizi ya kila mwezi.
  3. Kufanya usuluhisho wa Hesabu za Benki.
  4. Kufanya shughuli zote za kiuhasibu kwenye kitengo cha Hesabu.
  5. Kuandaa ripoti za utekelezaji wa kazi ikiwemo ripoti ya robo, nusu nay a mwaka.
  6. Kufanya kazi nyengine zinazolingana na majukumu yake kama atakavyopangiwa na Mkuu wake wa  kazi.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE
  • Awe Mzanzibari
  • Asiwe muajiriwa wa Serikali.
  • Awe amemaliza Shahada ya kwanza ya Uhasibu, Uongozi wa Fedha au fani nyengine inayolingana nayo kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
  • Awe na umri usiozidi miaka 45
  • Awe na ujuzi wa kutumia kompyuta.
REMUNERATIONZPSI-06

 

Click here to Apply



Share via Whatsapp
Advertise with us

©2024 Zenji Shoppazz . Haki zote zimehifadhiwa | Imetengenezwa na W3layouts and Zenji Shoppazz Chagua lugha : English